Haki miliki

Zana zote kwenye tovuti hii, zikijumuisha lakini zisizoishia tu kwa, maandishi, picha, taswira, michoro, ramani, vipande vya sauti, na vipande vya video (“Yaliyomo”) zimelindwa kwa haki miliki, nembo ya kibiashara, na haki zingine za kitaaluma za mali. Jumuiya ya Kibahá'í ya Kimataifa hubaki na ulinzi kamili wa kisheria kwa ajili ya maudhui yake chini ya sheria zote husika za kitaifa na kimataifa.

Faragha

Wasomaji kwenye Tovuti hii hawafuatiliwi, isipokuwa kutoa taarifa za kitakwimu za jumla ambazo haziwaainishi watumiaji binafsi. Pale ambapo kidakuzi zimetumika kuleta utendaji muhimu, hizi hazitumiki kufuatilia matumizi ya tovuti au kuhifadhi habari binafsi zinazotambulika. Hatua zimechukuliwa kulinda habari zote zilizokusanywa kutoka upatikanaji, utumiaji au ufunuzi usioidhinishwa. Tafadhali kumbuka kuwa tovuti hii inaweza kujumuisha viunganishi kwenye tovuti zenye sera tofauti za faragha.

Masharti ya Utumiaji

Unakaribishwa kupata na kutumia Maudhui ya tovuti hii kwa masharti yafuatavyo:

Masharti haya yanaweza kurekebishwa muda wowote bila taarifa.


Maboresho ya mwisho 29 Septemba 2017.